KANUNI NA MUONGOZO

Watani wa Jadi ni Channel ambayo inazingatia weledi na maadili yanayoongoza tasnia ya habari. Tumejikita katika Nyanja ya Michezo hususani klabu mbili za YANGA na SIMBA ambazo zenyewe zina ushindani mkubwa na pia ni watani wa jadi Tunazingatia misingi ya uhariri katika habari kwa kufuata yafuatayo:

1. Kuripoti habari za ukweli zenye kufuata misingi ya habari zenye uwiano na kutoa fursa sawa kwa pande zote .
2. Kusaidia kurekebisha taarifa zilizopotoshwa ili kuwapa ukweli wafuatiliaji wetu.
3. Kujiepusha na udini, ukabila au mambo yoyote yanayoweza kusababisha uchochezi.

Muongozo kwa Wafuatiliaji Wetu (GUIDELINES FOR OUR SUBSCRIBERS)

1. Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake.
2. Watani wa Jadi ina uhuru wa kufuta maoni yasiyo na maadili au yenye matusi.
3. Watani wa Jadi ina uhuru wa kumzuia mfuatiliaji aliyekiuka masharti asiweze kuona habari zetu au kuweza kuweka maoni.

ONYO: Ni Kosa kujimilikisha Maudhui/Contents za Watani wa Jadi, COPYRIGHT STRIKE ITAKUHUSU.


1:38

Shared 11 months ago

100 views