KANUNI NA MUONGOZO
Watani wa Jadi ni Channel ambayo inazingatia weledi na maadili yanayoongoza tasnia ya habari. Tumejikita katika Nyanja ya Michezo hususani klabu mbili za YANGA na SIMBA ambazo zenyewe zina ushindani mkubwa na pia ni watani wa jadi Tunazingatia misingi ya uhariri katika habari kwa kufuata yafuatayo:
1. Kuripoti habari za ukweli zenye kufuata misingi ya habari zenye uwiano na kutoa fursa sawa kwa pande zote .
2. Kusaidia kurekebisha taarifa zilizopotoshwa ili kuwapa ukweli wafuatiliaji wetu.
3. Kujiepusha na udini, ukabila au mambo yoyote yanayoweza kusababisha uchochezi.
Muongozo kwa Wafuatiliaji Wetu (GUIDELINES FOR OUR SUBSCRIBERS)
1. Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake.
2. Watani wa Jadi ina uhuru wa kufuta maoni yasiyo na maadili au yenye matusi.
3. Watani wa Jadi ina uhuru wa kumzuia mfuatiliaji aliyekiuka masharti asiweze kuona habari zetu au kuweza kuweka maoni.
ONYO: Ni Kosa kujimilikisha Maudhui/Contents za Watani wa Jadi, COPYRIGHT STRIKE ITAKUHUSU.
Shared 7 months ago
93 views
Shared 8 months ago
30 views
Shared 8 months ago
63 views
Shared 8 months ago
53 views
Shared 8 months ago
50 views
Shared 11 months ago
106 views
Shared 1 year ago
45 views
Shared 1 year ago
135 views
Shared 1 year ago
65 views
Shared 2 years ago
122 views
Shared 2 years ago
57 views
Shared 2 years ago
42 views
Shared 2 years ago
78 views
Shared 2 years ago
64 views
Shared 2 years ago
91 views
Shared 2 years ago
154 views
Shared 2 years ago
612 views
Shared 3 years ago
3.5K views
Shared 3 years ago
107 views
Shared 3 years ago
2.6K views
Shared 3 years ago
1.6K views
Shared 4 years ago
104 views
Shared 4 years ago
98 views
Shared 4 years ago
631 views
Shared 4 years ago
2.8K views
Shared 4 years ago
32 views
Shared 4 years ago
81 views
Shared 4 years ago
259 views