KANUNI NA MUONGOZO KWA WAFUATILIAJI WETU
Baharia TV inamilikiwa na kampuni ya BAHARIA MEDIA GROUP LTD.
Hiki ni chombo rasmi kwa ajili ya kutoa habari ndani na nje ya Tanzania, Habari za kisiasa, kiuchumi, Kijamii na michezo, tunazingatia misingi ya uhariri katika habari kwa kufuata yafuatayo:
A. Kuripoti habari za ukweli
B. Kusaidia kurekebisha taarifa zilizopotoshwa ili kuwapa ukweli wafuatiliaji wetu
C. Kufuata misingi ya habari kwa kuripoti habari zenye uwiano na kutoa fursa sawa kwa pande zote
D. Kujiepusha na udini, ukabila au mambo yoyote yanayoweza kusababisha uchochezi
MUONGOZO KWA WAFUATILIAJI WETU
A. Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake
B. Baharia TV ina uhuru wa kufuta maoni yasiyo na maadili au yenye matusi makali
C. Baharia TV ina uhuru wa kupitia maoni kabla hayajaonekana na watu wote
D. Baharia TV ina uhuru wa kumzuia mfuatiliaji aliyekiuka masharti asiweze kuona habari zetu au kuweza kuweka maoni
Shared 4 weeks ago
108 views
Shared 1 month ago
44 views
Shared 2 months ago
68 views
Shared 2 months ago
127 views
Shared 2 months ago
118 views
Shared 2 months ago
781 views
Shared 2 months ago
106 views
Shared 2 months ago
163 views
Shared 2 months ago
23 views
Shared 2 months ago
288 views
Shared 2 months ago
171 views
Shared 2 months ago
86 views
Shared 2 months ago
54 views
Shared 2 months ago
303 views
Shared 2 months ago
64 views
Shared 2 months ago
21 views
Shared 2 months ago
412 views
Shared 2 months ago
72 views
Shared 2 months ago
39 views
Shared 3 months ago
48 views
Shared 3 months ago
550 views
Shared 3 months ago
241 views
Shared 3 months ago
41 views
Shared 3 months ago
4.6K views
Shared 3 months ago
22 views