KANUNI NA MUONGOZO KWA WAFUATILIAJI WETU
Baharia TV inamilikiwa na kampuni ya BAHARIA MEDIA GROUP LTD.
Hiki ni chombo rasmi kwa ajili ya kutoa habari ndani na nje ya Tanzania, Habari za kisiasa, kiuchumi, Kijamii na michezo, tunazingatia misingi ya uhariri katika habari kwa kufuata yafuatayo:
A. Kuripoti habari za ukweli
B. Kusaidia kurekebisha taarifa zilizopotoshwa ili kuwapa ukweli wafuatiliaji wetu
C. Kufuata misingi ya habari kwa kuripoti habari zenye uwiano na kutoa fursa sawa kwa pande zote
D. Kujiepusha na udini, ukabila au mambo yoyote yanayoweza kusababisha uchochezi
MUONGOZO KWA WAFUATILIAJI WETU
A. Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake
B. Baharia TV ina uhuru wa kufuta maoni yasiyo na maadili au yenye matusi makali
C. Baharia TV ina uhuru wa kupitia maoni kabla hayajaonekana na watu wote
D. Baharia TV ina uhuru wa kumzuia mfuatiliaji aliyekiuka masharti asiweze kuona habari zetu au kuweza kuweka maoni
Shared 1 day ago
46 views
Shared 1 day ago
32 views
Shared 1 day ago
21 views
Shared 1 day ago
15 views
Shared 1 day ago
23 views
Shared 1 day ago
61 views
Shared 2 days ago
54 views
Shared 3 days ago
21 views
Shared 3 days ago
15 views
Shared 3 days ago
22 views
Shared 3 days ago
99 views
Shared 3 days ago
50 views
Shared 3 days ago
54 views
Shared 4 days ago
22 views
Shared 4 days ago
36 views
Shared 4 days ago
77 views
Shared 1 month ago
115 views
Shared 2 months ago
44 views
Shared 2 months ago
68 views
Shared 3 months ago
131 views
Shared 3 months ago
118 views
Shared 3 months ago
782 views
Shared 3 months ago
107 views
Shared 3 months ago
165 views
Shared 3 months ago
23 views
Shared 3 months ago
288 views
Shared 3 months ago
171 views
Shared 3 months ago
88 views
Shared 3 months ago
54 views
Shared 3 months ago
303 views
Shared 3 months ago
64 views
Shared 3 months ago
21 views
Shared 3 months ago
425 views
Shared 3 months ago
72 views
Shared 3 months ago
40 views