Kwa maelfu ya miaka, wanawake walizoea kujifungua wakiwa wamesimama au katika mkao wa wima iwe kwa kupiga magoti, kutumia viti maalum vya kujifungulia au kuchuchumaa. Kusoma zaidi taarifa hii bofya www.bbc.com/swahili/articles/c62jley7w85o
Usitishaji vita kati ya Israel na Lebanon waanza. Pata habari,uchambuzi na simulizi moja kwa moja kwenye simu yako ππwhatsapp.com/channel/0029Vagu...
Kiongozi wa chama cha Economic Freedom Fighters (EFF) Julius Malema, 45, amehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela katika mahakama ya nchini Afrika Kusini.
Linda Gacheri anafanyakazi ya kuhifadhi na kutunza maiti, Je amekuwa akikutana na yapi katika maisha yake ya kawaida? Sikiliza mahojiano haya kwa kina katika ukurasa wa YouTube wa BBCSwahili https://youtu.be/-qWDlG9dm20
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kaskazini Unguja limesema linaendelea kumuhoji Joseph Maccan na hati yake ya kusafiria imezuiliwa kufuatia kifo cha mshawishi wa mtandaoni Ashly Robinson maarufu kama Ashlee Jenae.
BBC News Swahili
Kwa maelfu ya miaka, wanawake walizoea kujifungua wakiwa wamesimama au katika mkao wa wima iwe kwa kupiga magoti, kutumia viti maalum vya kujifungulia au kuchuchumaa.
Kusoma zaidi taarifa hii bofya www.bbc.com/swahili/articles/c62jley7w85o
2 days ago | [YT] | 134
View 2 replies
BBC News Swahili
Usitishaji vita kati ya Israel na Lebanon waanza. Pata habari,uchambuzi na simulizi moja kwa moja kwenye simu yako ππwhatsapp.com/channel/0029Vagu...
2 days ago | [YT] | 16
View 0 replies
BBC News Swahili
Kiongozi wa chama cha Economic Freedom Fighters (EFF) Julius Malema, 45, amehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela katika mahakama ya nchini Afrika Kusini.
3 days ago | [YT] | 107
View 14 replies
BBC News Swahili
Mazungumzo Israel na Lebanon yanaendeleaje?. Pata habari,uchambuzi na simulizi moja kwa moja kwenye simu yako ππwhatsapp.com/channel/0029Vagu...
3 days ago | [YT] | 5
View 0 replies
BBC News Swahili
Linda Gacheri anafanyakazi ya kuhifadhi na kutunza maiti, Je amekuwa akikutana na yapi katika maisha yake ya kawaida? Sikiliza mahojiano haya kwa kina katika ukurasa wa YouTube wa BBCSwahili https://youtu.be/-qWDlG9dm20
4 days ago | [YT] | 88
View 7 replies
BBC News Swahili
Trump adokeza mazungumzo huenda yakarejelewa. Pata habari,uchambuzi na simulizi moja kwa moja kwenye simu yako ππwhatsapp.com/channel/0029Vaguu59FcowC5O1Nl01o
4 days ago | [YT] | 17
View 2 replies
BBC News Swahili
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kaskazini Unguja limesema linaendelea kumuhoji Joseph Maccan na hati yake ya kusafiria imezuiliwa kufuatia kifo cha mshawishi wa mtandaoni Ashly Robinson maarufu kama Ashlee Jenae.
5 days ago | [YT] | 78
View 14 replies
BBC News Swahili
Pata habari,uchambuzi na simulizi moja kwa moja kwenye simu yako ππ whatsapp.com/channel/0029Vaguu59FcowC5O1Nl01o
5 days ago | [YT] | 16
View 1 reply
BBC News Swahili
Wazazi wa Ashly wanaendelea kutafuta majibu kuhusu kifo cha binti yao.
Unaweza kusoma taarifa hii kwa kubofya:
www.bbc.com/swahili/live/c4gddv3r8rxt
www.instagram.com/p/DXGk_LmDRB7/?img_index=1
5 days ago | [YT] | 85
View 5 replies
BBC News Swahili
βSitaki kujibizana na Trump, simuogopiβ Unaweza kusom taarifa hii kwa kubofya www.bbc.com/swahili/live/cd0r372l4ngt
6 days ago | [YT] | 234
View 21 replies
Load more