Gwiji wa muziki wa country Dolly Parton amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 80
Parton, aliyekulia katika Milima ya Smoky katika jimbo la Tennessee, atakumbukwa kwa nyimbo zake zilizokuwa zikisimulia hadithi za maisha, zikiwemo Coat of Many Colors, Jolene na I Will Always Love You.
Makamu wa Rais wa Tanzania, Emmanuel John Nchimbi, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na kustaafu siasa pamoja na utumishi wa umma, kwa mujibu wa barua inayosambaa mitandaoni.
Baada ya Mwenyekiti (CHADEMA), Tundu Lissu kukutwa na kesi ya kujibu, sasa anaweza kuwaita mashahidi wake ili kujibu hoja na ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka. Hawa ni baadhi ya mashahidi ambao Lissu ameomba waitwe. Hata hivyo tayari kuna mapingamizi juu ya baadhi ya mshahidi hao kuitwa
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imetoa uamuzi katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, na kumkuta ana kesi ya kujibu.Akisoma uamuzi huo, Jaji Ndunguru, anayeongoza jopo la majaji linalosikiliza shauri hilo, amesema baada ya kupitia ushahidi uliowasilishwa na upande wa mashtaka unaowakilishwa na Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), mahakama imejiridhisha kuwa kuna ushahidi wa kutosha unaomfanya Lissu awe na kesi ya kujibu. #chadema#tanzania#bbcswahili#tundulissu#foryou
BBC News Swahili
Mpishi wa vyakula vya kiswahili nchini Marekani
1 day ago | [YT] | 3
View 0 replies
BBC News Swahili
Deogratius John Ndejembi, 43, anaelekea kuwa mmoja wa Makamu wa Rais vijana zaidi nchini Tanzania.
Lakini safari yake ya kisiasa imekuwaje hadi kufikia hatua hii? Unaweza kusoma zaidi taarifa hii www.bbc.com/swahili/articles/c8jd7kmd4ejo
2 days ago | [YT] | 335
View 41 replies
BBC News Swahili
Jiunge na chaneli ya WhatsApp ya BBC News Swahili kupokea habari, uchambuzi na simulizi moja kwa moja kwenye simu yako. 👉👉whatsapp.com/channel/0029Vaguu59FcowC5O1Nl01o
3 days ago | [YT] | 22
View 0 replies
BBC News Swahili
Gwiji wa muziki wa country Dolly Parton amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 80
Parton, aliyekulia katika Milima ya Smoky katika jimbo la Tennessee, atakumbukwa kwa nyimbo zake zilizokuwa zikisimulia hadithi za maisha, zikiwemo Coat of Many Colors, Jolene na I Will Always Love You.
Je wimbo gani ulikuwa unaukubali kutoka kwake?
3 days ago | [YT] | 147
View 20 replies
BBC News Swahili
Makamu wa Rais wa Tanzania, Emmanuel John Nchimbi, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na kustaafu siasa pamoja na utumishi wa umma, kwa mujibu wa barua inayosambaa mitandaoni.
4 days ago | [YT] | 561
View 33 replies
BBC News Swahili
Jiunge na chaneli ya WhatsApp ya BBC News Swahili kupokea habari, uchambuzi na simulizi moja kwa moja kwenye simu yako. 👉👉 whatsapp.com/channel/0029Vaguu59FcowC5O1Nl01o
5 days ago | [YT] | 18
View 0 replies
BBC News Swahili
Baada ya Mwenyekiti (CHADEMA), Tundu Lissu kukutwa na kesi ya kujibu, sasa anaweza kuwaita mashahidi wake ili kujibu hoja na ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka.
Hawa ni baadhi ya mashahidi ambao Lissu ameomba waitwe. Hata hivyo tayari kuna mapingamizi juu ya baadhi ya mshahidi hao kuitwa
1 week ago | [YT] | 341
View 65 replies
BBC News Swahili
Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imetoa uamuzi katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, na kumkuta ana kesi ya kujibu.Akisoma uamuzi huo, Jaji Ndunguru, anayeongoza jopo la majaji linalosikiliza shauri hilo, amesema baada ya kupitia ushahidi uliowasilishwa na upande wa mashtaka unaowakilishwa na Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), mahakama imejiridhisha kuwa kuna ushahidi wa kutosha unaomfanya Lissu awe na kesi ya kujibu. #chadema #tanzania #bbcswahili #tundulissu #foryou
1 week ago | [YT] | 110
View 9 replies
BBC News Swahili
Mji gani una idadi kubwa ya watu duniani mwaka 2026?
1 week ago | [YT] | 29
View 0 replies
BBC News Swahili
Jiunge na chaneli ya WhatsApp ya BBC News Swahili kupokea habari, uchambuzi na simulizi moja kwa moja kwenye simu yako. 👉👉 whatsapp.com/channel/0029Vaguu59FcowC5O1Nl01o
1 week ago | [YT] | 12
View 0 replies
Load more