Familia zilizopoteza wapendwa wao zilikusanyika nje ya Bunge la Kenya kuadhimisha miaka miwili tangu maandamano ya kupinga Muswada wa Fedha wa mwaka 2024, huku zikiweka mashada ya maua na kurudia wito wa kutaka haki itendeke.
Kutokana na ulinzi mkali na vizuizi vya barabarani, ni kundi dogo tu la wazazi, wanaharakati na wanasiasa wa upinzani lililofanikiwa kufika eneo hilo. Wengi waliweka maua kwenye vizuizi vya waya wenye miiba baada ya kuzuiwa kuingia katika eneo la Bunge - - #bbcswahili#maandamano#kenya#GenZ
Uholanzia wanakutana na Tunisia kwenye mchezo wa mwisho wa Kundi F katika Kombe la Dunia 2026. Uholanzi wako kwenye kiwango kizuri na wanapigania kumaliza kileleni mwa kundi, huku Tunisia wakiwa tayari wametolewa baada yakufungwa mechi mbili za mwanzo
Timu ya taifa ya Ivory Coast itacheza mchezo wake wa tatu katika dimba la usiku wa leo kwa kuwakabili Curaçao Tembo wa Afrika,wana alama tatu baada ya kucheza wananafasi kubwa ya kuwa taifa la pili la Afrika kutinga hatua ya 32. Mchezo huu utachezwa saa 11.00 usiku kwa saa za Afrika mashariki #bbcswahili#ivory#kombeladunia#FIFAWorldCup
Timu ya taifa ya Morroco watacheza mchezo wao wa mwisho wa hatua makundi wakicheza na timu ya taifa ya Haiti.
Morroco the Atlas Lion wana alama 4 katika nfasi ya pili huku Haiti wakiwa hawana alama hata moja baada ya kupoteza michezo yao miwili ya kwanza, mchezo huu utachezwa saa saba usiku kwa saa za Afrika mashariki. - - #bbcswahili#kandanda#kombeladunia
Simba milima ya teranga Senegal wanatajia kutupa karata ya pili katika kombe la dunia kusaka alama tatu muhimu kwa kuwakabili timu ya taifa ya Norway. Senegal walipoteza mchezo wao wa kwanza kwa kufungwa na Ufaransa kwa 3-1 huku Norway wakishinda dhidi ya Iraq. - - #bbcswahili#senegal#kandanda#kombeladunia2026
Kombe la Dunia 2026: “Tunaitakia ushindi timu yetu ya Iran, lakini tunauchukia utawala uliopo madarakani” changamoto inayowakabili baadhi ya mashabiki wa soka wa Iran
Baada ya kushangaza ulimwengu wa soka kwa kuivimbia Hispania kwa sare tasa, Cape Verde inacheza mchezo wa pili leo wa kundi kundi H dhidi ya Uruguay ikijua ushindi utaiweka kwenye nafasi nzuri ya kuingia 32-bora. Hispania na Saudi Arabia zinakamilisha timu nne za kundi hili ambapo ambapo timu zote zina alama moja moja, baada ya Saudi Arabia kulazimisha sare ya 1-1 na Uruguay. - - #bbcswahili#kombeladunia2026#kandanda
BBC News Swahili
Familia zilizopoteza wapendwa wao zilikusanyika nje ya Bunge la Kenya kuadhimisha miaka miwili tangu maandamano ya kupinga Muswada wa Fedha wa mwaka 2024, huku zikiweka mashada ya maua na kurudia wito wa kutaka haki itendeke.
Kutokana na ulinzi mkali na vizuizi vya barabarani, ni kundi dogo tu la wazazi, wanaharakati na wanasiasa wa upinzani lililofanikiwa kufika eneo hilo. Wengi waliweka maua kwenye vizuizi vya waya wenye miiba baada ya kuzuiwa kuingia katika eneo la Bunge
-
-
#bbcswahili #maandamano #kenya #GenZ
8 hours ago | [YT] | 12
View 0 replies
BBC News Swahili
Uholanzia wanakutana na Tunisia kwenye mchezo wa mwisho wa Kundi F katika Kombe la Dunia 2026. Uholanzi wako kwenye kiwango kizuri na wanapigania kumaliza kileleni mwa kundi, huku Tunisia wakiwa tayari wametolewa baada yakufungwa mechi mbili za mwanzo
Mchezo huu utachezwa saa 2:00 usiku kwa saa za Afrika mashariki
-
#bbcswahili #kandanda #soka #kombeladunia2026
10 hours ago | [YT] | 8
View 2 replies
BBC News Swahili
Lionel Messi ndio kinara wa kuzifumani nyavu katika Michuano ya kombe la dunia linaloendea akiwa amefunga magoli 5 mpaka kufikia sasa
-
-
#bbcswahili #messi #kombeladunia2026 #FIFAWorldCup
13 hours ago | [YT] | 16
View 1 reply
BBC News Swahili
Timu ya taifa ya Ivory Coast itacheza mchezo wake wa tatu katika dimba la usiku wa leo kwa kuwakabili Curaçao
Tembo wa Afrika,wana alama tatu baada ya kucheza wananafasi kubwa ya kuwa taifa la pili la Afrika kutinga hatua ya 32.
Mchezo huu utachezwa saa 11.00 usiku kwa saa za Afrika mashariki
#bbcswahili #ivory #kombeladunia #FIFAWorldCup
14 hours ago | [YT] | 17
View 2 replies
BBC News Swahili
Timu ya taifa ya Morroco watacheza mchezo wao wa mwisho wa hatua makundi wakicheza na timu ya taifa ya Haiti.
Morroco the Atlas Lion wana alama 4 katika nfasi ya pili huku Haiti wakiwa hawana alama hata moja baada ya kupoteza michezo yao miwili ya kwanza, mchezo huu utachezwa saa saba usiku kwa saa za Afrika mashariki.
-
-
#bbcswahili #kandanda #kombeladunia
1 day ago | [YT] | 27
View 0 replies
BBC News Swahili
Ghana black Stars wawakilishi wengine wa Afrika katika michuano ya kombe la dunia,wanatarajiwa kushuka dimbani kuwakabili Three Lions England.
England na Ghana kutoka kundi L wote wana alama tatu baada ya kushinda michezo yao ya kwanza.
#bbcswahili #soka #kandanda
2 days ago | [YT] | 32
View 0 replies
BBC News Swahili
Simba milima ya teranga Senegal wanatajia kutupa karata ya pili katika kombe la dunia kusaka alama tatu muhimu kwa kuwakabili timu ya taifa ya Norway.
Senegal walipoteza mchezo wao wa kwanza kwa kufungwa na Ufaransa kwa 3-1 huku Norway wakishinda dhidi ya Iraq.
-
-
#bbcswahili #senegal #kandanda #kombeladunia2026
3 days ago | [YT] | 67
View 3 replies
BBC News Swahili
Kombe la Dunia 2026: “Tunaitakia ushindi timu yetu ya Iran, lakini tunauchukia utawala uliopo madarakani” changamoto inayowakabili baadhi ya mashabiki wa soka wa Iran
#bbcswahili #iran #marekani #kombeladunia2026
3 days ago | [YT] | 33
View 21 replies
BBC News Swahili
Baada ya kushangaza ulimwengu wa soka kwa kuivimbia Hispania kwa sare tasa, Cape Verde inacheza mchezo wa pili leo wa kundi kundi H dhidi ya Uruguay ikijua ushindi utaiweka kwenye nafasi nzuri ya kuingia 32-bora.
Hispania na Saudi Arabia zinakamilisha timu nne za kundi hili ambapo ambapo timu zote zina alama moja moja, baada ya Saudi Arabia kulazimisha sare ya 1-1 na Uruguay.
-
-
#bbcswahili #kombeladunia2026 #kandanda
4 days ago | [YT] | 46
View 0 replies
BBC News Swahili
Jiunge na chaneli ya WhatsApp ya BBC News Swahili kupokea habari, uchambuzi na simulizi moja kwa moja kwenye simu yako. 👉👉whatsapp.com/channel/0029Vaguu59FcowC5O1Nl01o
1 week ago | [YT] | 21
View 0 replies
Load more