Kwanini kande, mbege na machalari ni bora kuliko Pizza na Burger? Utafiti mpya uliofanyika nchini Tanzania umebaini lishe ya asili ya Kiafrika ina faida kubwa kiafya kuliko lishe ya Kimagharibi. Unaweza kusoma zaidi www.bbc.com/swahili/articles/cg5qy1j92mgo
Panya Ronin amenusa mabomu 109 ya ardhini nchini Cambodia, na kuvunja Rekodi ya Dunia ya Guinness kwa mabomu mengi ya ardhini yaliyogunduliwa na panya.Kusoma zaidi bofya bbc.in/44eJNib
"Linahamasisha uhusiano wa kimapenzi usio wa kitamaduni," Shirika hilo lililoanzishwa mwaka 1992 na lenye makao yake nchini Marekani na U.K., linasema linafanya kazi katika zaidi ya nchi 90 za"kuongeza upatikanaji wa huduma za afya, kukabiliana na unyanyapaa wa LGBTQ+, na kukomesha UKIMWI." Kusoma zaidi bofya bbc.in/3XHnvl8
"Tutaifanya Marekani kuwa kubwa na tajiri tena. Nchi yetu imedhulumiwa kwa zaidi ya miaka 50. Hilo halitafanyika tena." Unaweza kusoma zaidi taarifa hii kwa kubofya www.bbc.com/swahili/articles/cj0zj40vy9po
Kwa miaka mingi, tumekuwa tukiambiwa ni hatari kutoka nje kwenye jua bila mafuta maalumu ya jua (Suynscreen).
Lakini kiuhalisia miili yetu inahitaji mwanga wa jua.
Takriban Waislamu bilioni 2 kote ulimwenguni wamekuwa wakisherehekea Eid al-Fitr, wengine wamesheherekea Machi 30 na wengine Machi 31, kuadhimisha mwisho wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Haya ni matukio machache katika Picha kuhusu siku kuu ya Eid al-Fitr.
Ripoti ya hivi karibuni kuhusu muziki barani Afrika zinaonesha kwamba mapato kutoka kwa tasnia ya muziki yamekua kwa angalau asilimia 22 mwaka jana.Je, wasanii wenyewe wanafaidika? Ungana na Ronclif Odit na wasanii kutoka Kenya wakijadili uhalisia wa mambo
Kuzuiliwa kwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Sudan Kusini Riek Machar kumevunja mkataba wa amani wa 2018 uliomaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyodumu kwa miaka mitano nchini humo, chama chake kimesema.
Je kukamatwa kwake kweli kunahitimisha makubaliano ya amani ya Sudan Kusini? Je Historia ya mzozo huu ulianzaje?
Ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Tanzania (CAG) ya mwaka wa fedha 2023/2024, iliyowasilishwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan, imeonesha kuwa mashirika kadhaa ya umma bado yanaendelea kupata hasara.
Pia unaweza kusoma zaidi www.bbc.com/swahili/articles/c1w0r1p8011o
BBC News Swahili
Kwanini kande, mbege na machalari ni bora kuliko Pizza na Burger? Utafiti mpya uliofanyika nchini Tanzania umebaini lishe ya asili ya Kiafrika ina faida kubwa kiafya kuliko lishe ya Kimagharibi. Unaweza kusoma zaidi www.bbc.com/swahili/articles/cg5qy1j92mgo
21 hours ago | [YT] | 39
View 4 replies
BBC News Swahili
Panya Ronin amenusa mabomu 109 ya ardhini nchini Cambodia, na kuvunja Rekodi ya Dunia ya Guinness kwa mabomu mengi ya ardhini yaliyogunduliwa na panya.Kusoma zaidi bofya bbc.in/44eJNib
3 days ago (edited) | [YT] | 84
View 13 replies
BBC News Swahili
"Linahamasisha uhusiano wa kimapenzi usio wa kitamaduni,"
Shirika hilo lililoanzishwa mwaka 1992 na lenye makao yake nchini Marekani na U.K., linasema linafanya kazi katika zaidi ya nchi 90 za"kuongeza upatikanaji wa huduma za afya, kukabiliana na unyanyapaa wa LGBTQ+, na kukomesha UKIMWI." Kusoma zaidi bofya bbc.in/3XHnvl8
4 days ago (edited) | [YT] | 55
View 10 replies
BBC News Swahili
"Tutaifanya Marekani kuwa kubwa na tajiri tena. Nchi yetu imedhulumiwa kwa zaidi ya miaka 50. Hilo halitafanyika tena." Unaweza kusoma zaidi taarifa hii kwa kubofya www.bbc.com/swahili/articles/cj0zj40vy9po
4 days ago | [YT] | 38
View 5 replies
BBC News Swahili
Kwa miaka mingi, tumekuwa tukiambiwa ni hatari kutoka nje kwenye jua bila mafuta maalumu ya jua (Suynscreen). Lakini kiuhalisia miili yetu inahitaji mwanga wa jua.
5 days ago | [YT] | 17
View 0 replies
BBC News Swahili
Je una gubu na unapenda kulalamika mara kwa mara? Hizi ndio athari zake kiafya. Pia unaweza kusoma zaidi www.bbc.com/swahili/articles/czj7wlrr73lo
5 days ago | [YT] | 31
View 0 replies
BBC News Swahili
Takriban Waislamu bilioni 2 kote ulimwenguni wamekuwa wakisherehekea Eid al-Fitr, wengine wamesheherekea Machi 30 na wengine Machi 31, kuadhimisha mwisho wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
Haya ni matukio machache katika Picha kuhusu siku kuu ya Eid al-Fitr.
1 week ago | [YT] | 64
View 10 replies
BBC News Swahili
Ripoti ya hivi karibuni kuhusu muziki barani Afrika zinaonesha kwamba mapato kutoka kwa tasnia ya muziki yamekua kwa angalau asilimia 22 mwaka jana.Je, wasanii wenyewe wanafaidika? Ungana na Ronclif Odit na wasanii kutoka Kenya wakijadili uhalisia wa mambo
1 week ago | [YT] | 2
View 0 replies
BBC News Swahili
Kuzuiliwa kwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Sudan Kusini Riek Machar kumevunja mkataba wa amani wa 2018 uliomaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyodumu kwa miaka mitano nchini humo, chama chake kimesema.
Je kukamatwa kwake kweli kunahitimisha makubaliano ya amani ya Sudan Kusini? Je Historia ya mzozo huu ulianzaje?
1 week ago | [YT] | 36
View 0 replies
BBC News Swahili
Ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Tanzania (CAG) ya mwaka wa fedha 2023/2024, iliyowasilishwa kwa Rais Samia Suluhu Hassan, imeonesha kuwa mashirika kadhaa ya umma bado yanaendelea kupata hasara.
Pia unaweza kusoma zaidi www.bbc.com/swahili/articles/c1w0r1p8011o
1 week ago | [YT] | 47
View 24 replies
Load more