Theo ni mtoto wa tatu duniani kufanyiwa upasuaji akiwa bado tumboni ili kurekebisha tatizo tata la gastroschisis (hali ambapo utumbo wa mtoto hukua nje ya mwili kutokana na kutokukamilika kwa ukuta wa tumbo)
Shirikisho la soka duniania FIFA limesema "hakuna anayeuza soka", lakini mpango wa rais wake Gianni Infantino wa kuruhusu wawekezaji kununua hisa katika biashara za mashindano ya FIFA umeibua upinzani mkubwa.
Timu ya taifa ya Tanzania ya wanawake Twiga Stars wataanza kutupa karata yao ya kwanza leo hii katika michuano ya kombe la mataifa ya Afrika kwa wanawake (Wafcon 2026) kwa kucheza na Afrika Kusini (Banyana Banyana)
Michuano ya Wafcon inafanyika nchini Morroco na mchezo huu utachezwa saa 8.00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki - - #bbcswahili#WAFCON#wanawake#soka
BBC News Swahili
Theo ni mtoto wa tatu duniani kufanyiwa upasuaji akiwa bado tumboni ili kurekebisha tatizo tata la gastroschisis (hali ambapo utumbo wa mtoto hukua nje ya mwili kutokana na kutokukamilika kwa ukuta wa tumbo)
14 hours ago | [YT] | 32
View 2 replies
BBC News Swahili
Je, huu utakuwa msimu wenye ushindani mkali zaidi wa Ligi Kuu England?
3 days ago | [YT] | 43
View 0 replies
BBC News Swahili
Shirikisho la soka duniania FIFA limesema "hakuna anayeuza soka", lakini mpango wa rais wake Gianni Infantino wa kuruhusu wawekezaji kununua hisa katika biashara za mashindano ya FIFA umeibua upinzani mkubwa.
4 days ago | [YT] | 43
View 1 reply
BBC News Swahili
Kiongozi wa upinzani Kizza Besigye alizimia mahakamani wakati wa kusikilizwa kwa kesi inayomkabili.
#bbcswahili #Uganda #KizzaBesigye #SiasaUpinzani #Museveni
5 days ago | [YT] | 103
View 12 replies
BBC News Swahili
Deepfakes: Je, unaweza kutambua picha iliyotengenezwa kwa AI?
6 days ago | [YT] | 39
View 7 replies
BBC News Swahili
Zhang Zhidong: Mtu aliye nyuma ya mtandao wa Fentanyl
1 week ago | [YT] | 0
View 0 replies
BBC News Swahili
Heche na Sifuna: Ni pacha wa siasa za upinzani Afrika Mashariki?
1 week ago | [YT] | 3
View 0 replies
BBC News Swahili
Timu ya taifa ya Tanzania ya wanawake Twiga Stars wataanza kutupa karata yao ya kwanza leo hii katika michuano ya kombe la mataifa ya Afrika kwa wanawake (Wafcon 2026) kwa kucheza na Afrika Kusini (Banyana Banyana)
Michuano ya Wafcon inafanyika nchini Morroco na mchezo huu utachezwa saa 8.00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki
-
-
#bbcswahili #WAFCON #wanawake #soka
1 week ago | [YT] | 59
View 4 replies
BBC News Swahili
Parkinson ni nini?
1 week ago | [YT] | 1
View 0 replies
BBC News Swahili
'Baada ya kuthibitishwa kuwa nina ugonjwa huu nilitamani kufa'
1 week ago | [YT] | 2
View 0 replies
Load more