Video za habari na matukio duniani kutoka BBCSwahili.com


BBC News Swahili

Pata habari,uchambuzi na simulizi moja kwa moja kwenye simu yako 👉👉whatsapp.com/channel/0029Vaguu59FcowC5O1Nl01o

1 day ago | [YT] | 11

BBC News Swahili

Rais Xi anampeleka mwenzake wa Marekani katika maeneo muhimu yanayoonyesha historia ndefu ya China.

1 day ago | [YT] | 40

BBC News Swahili

Kutoka Wapinzani hadi maadui

2 days ago | [YT] | 1

BBC News Swahili

Je, Marekani na China zinaweza kuingia kwenye mgogoro dhidi ya Taiwan?

2 days ago | [YT] | 1

BBC News Swahili

Pata habari,uchambuzi na simulizi moja kwa moja kwenye simu yako 👉👉 whatsapp.com/channel/0029Vaguu59FcowC5O1Nl01o

2 days ago (edited) | [YT] | 14

BBC News Swahili

Huyu ni Bumpy, mtoto wa kiboko aliyebaki yatima na kuokolewa nchini Kenya. Bumpy aliokolewa tarehe 2 Mei na Kenya Wildlife Service baada ya kupewa taarifa kuhusu mtoto wa kiboko aliyekuwa yatima katika Oloiden Resort huko Naivasha.

2 days ago | [YT] | 89

BBC News Swahili

Pata habari moja kwa moja kwenye simu yako 👉👉whatsapp.com/channel/0029Vaguu59FcowC5O1Nl01o

3 days ago | [YT] | 11

BBC News Swahili

Ziara ya Donald Trump nchini China ina matumaini kwamba itazaa matunda.

Mkutano huu kati ya viongozi wawili wenye nguvu zaidi ulimwenguni unatajwa kuwa moja ya mikutano muhimu zaidi kwa miaka.

3 days ago | [YT] | 39

BBC News Swahili

Mariam na safari ya kufua nguo kusaka $15,000 kupandikizwa figo

3 days ago | [YT] | 0

BBC News Swahili

Pata habari moja kwa moja kwenye simu yako 👉👉whatsapp.com/channel/0029Vaguu59FcowC5O1Nl01o

4 days ago | [YT] | 8