Video za habari na matukio duniani kutoka BBCSwahili.com


BBC News Swahili

Katikati ya miaka ya 1970, Jeffrey Epstein alifundisha hisabati na fizikia katika Shule binafsi ya Dalton huko New York. Kumfahamu zaidi bofya www.bbc.com/swahili/articles/cr57yylpe31o
www.instagram.com/p/DUasuNjCILf/?utm_source=ig_web…

2 days ago | [YT] | 82

BBC News Swahili

Mshukiwa wa biashara haramu ya dawa za kulevya nchini Tanzania amekamatwa nchini Zambia kufuatia mfululizo wa operesheni zinazoongozwa na idara ya ujasusi zilizosababisha moja ya kukamatwa kwa dawa za kulevya kwa kiasi kikubwa zaidi nchini humo. Kusoma zaidi www.bbc.com/swahili/live/cz6y52nvp8wt?post=asset%3…

3 days ago (edited) | [YT] | 52

BBC News Swahili

Rais wa zamani wa Zimbabwe, hayati Robert Mugabe ametajwa katika kundi jipya la faili za Jeffrey Epstein zilizotolewa Marekani. Nyaraka hizo zinajumuisha mawasiliano ya barua pepe na madai ambayo hayajathibitishwa kutoka kwa chanzo cha siri yakidai uhusiano wa kifedha.

www.bbc.com/swahili/live/c1wzrd8z08gt
www.instagram.com/p/DUXnYjJjkU6/?img_index=1
#bbcswahili #mugabe #epstein #marekani #uhalifu

3 days ago (edited) | [YT] | 94

BBC News Swahili

Saif al-Islam Gaddafi, mtoto wa kiongozi wa zamani wa Libya, aripotiwa kuuawa
www.instagram.com/p/DUVHrNMjtkD/?img_index=1
#bbcswahili #gaddafi #libya

4 days ago | [YT] | 99

BBC News Swahili

Hatua hii imezua mjadala katika mitandao ya kijamii ikizingatia kuwa Siku ya wapendao inakaribia. Kusoma zaidi bbc.in/3ZRmirW

5 days ago | [YT] | 81

BBC News Swahili

Nyota wa muziki kutoka Afrika Kusini Tyla ameshinda Grammy yake ya pili, akichukua tuzo ya Wimbo Bora wa Muziki wa Kiafrika kupitia limbo wake wa “Push 2 Start”, Tyla aliwapiku wanamuziki kama Ayra Starr, Burna Boy, Davido na Eddy Kenzo.

6 days ago | [YT] | 153

BBC News Swahili

Balozi wa Israel nchini Afrika Kusini Ariel Seidman, ametangazwa kuwa hatakiwi nchini humo, hii ni kwa mujibu wa Wizara ya Mahusiano ya Kimataifa na Ushirikiano (DIRCO).

1 week ago | [YT] | 153

BBC News Swahili

Mtoto wa Rais Yoweri Museveni na Kiongozi wa Majeshi ya Ulinzi Uganda (UPDF), Jenerali Muhoozi Kainerugaba, amezua mjadala katika mitandao ya kijamii baada ya kuchapisha mfululizo wa ujumbe akilaumu Ubalozi wa Marekani nchini Uganda


Lakini baadaye, Jenerali Muhoozi alifuta ujumbe huo na kuomba radhi kwa kauli zake. Kusoma zaidi bbc.in/3ZGrJdi

1 week ago | [YT] | 84

BBC News Swahili

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) imeorodhesha adhabu walizotoa kwa Morocco na Senegal kufuatia vurugu iliyoshuhudiwa wakati wa fainali ya AFCON 2025. Kusoma zaidi bbc.in/46eOtVl

1 week ago | [YT] | 60

BBC News Swahili

'Wananchi wanaelewa'

1 week ago | [YT] | 0