BBC News Swahili 

Video za habari na matukio duniani kutoka BBCSwahili.com


BBC News Swahili

Mpishi wa vyakula vya kiswahili nchini Marekani

1 day ago | [YT] | 4

BBC News Swahili

Deogratius John Ndejembi, 43, anaelekea kuwa mmoja wa Makamu wa Rais vijana zaidi nchini Tanzania.

Lakini safari yake ya kisiasa imekuwaje hadi kufikia hatua hii? Unaweza kusoma zaidi taarifa hii www.bbc.com/swahili/articles/c8jd7kmd4ejo

2 days ago | [YT] | 341

BBC News Swahili

Jiunge na chaneli ya WhatsApp ya BBC News Swahili kupokea habari, uchambuzi na simulizi moja kwa moja kwenye simu yako. 👉👉whatsapp.com/channel/0029Vaguu59FcowC5O1Nl01o

3 days ago | [YT] | 24

BBC News Swahili

Gwiji wa muziki wa country Dolly Parton amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 80

Parton, aliyekulia katika Milima ya Smoky katika jimbo la Tennessee, atakumbukwa kwa nyimbo zake zilizokuwa zikisimulia hadithi za maisha, zikiwemo Coat of Many Colors, Jolene na I Will Always Love You.

Je wimbo gani ulikuwa unaukubali kutoka kwake?

3 days ago | [YT] | 148

BBC News Swahili

Makamu wa Rais wa Tanzania, Emmanuel John Nchimbi, ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo na kustaafu siasa pamoja na utumishi wa umma, kwa mujibu wa barua inayosambaa mitandaoni.

4 days ago | [YT] | 565

BBC News Swahili

Jiunge na chaneli ya WhatsApp ya BBC News Swahili kupokea habari, uchambuzi na simulizi moja kwa moja kwenye simu yako. 👉👉 whatsapp.com/channel/0029Vaguu59FcowC5O1Nl01o

5 days ago | [YT] | 19

BBC News Swahili

Baada ya Mwenyekiti (CHADEMA), Tundu Lissu kukutwa na kesi ya kujibu, sasa anaweza kuwaita mashahidi wake ili kujibu hoja na ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka.
Hawa ni baadhi ya mashahidi ambao Lissu ameomba waitwe. Hata hivyo tayari kuna mapingamizi juu ya baadhi ya mshahidi hao kuitwa

1 week ago | [YT] | 341

BBC News Swahili

Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imetoa uamuzi katika kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, na kumkuta ana kesi ya kujibu.Akisoma uamuzi huo, Jaji Ndunguru, anayeongoza jopo la majaji linalosikiliza shauri hilo, amesema baada ya kupitia ushahidi uliowasilishwa na upande wa mashtaka unaowakilishwa na Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP), mahakama imejiridhisha kuwa kuna ushahidi wa kutosha unaomfanya Lissu awe na kesi ya kujibu. #chadema #tanzania #bbcswahili #tundulissu #foryou

1 week ago | [YT] | 110

BBC News Swahili

Mji gani una idadi kubwa ya watu duniani mwaka 2026?

1 week ago | [YT] | 29

BBC News Swahili

Jiunge na chaneli ya WhatsApp ya BBC News Swahili kupokea habari, uchambuzi na simulizi moja kwa moja kwenye simu yako. 👉👉 whatsapp.com/channel/0029Vaguu59FcowC5O1Nl01o

1 week ago | [YT] | 12