KANUNI NA MUONGOZO
Msasa Media ni Chombo Cha Habari kwa njia ya kidigitali ambapo tumejikita katika kuripoti matukio mbalimbali ya Burudani kama filamu muziki, michezo, elimu na masuala mbalimbali ya jamii kwa ujumla.
Dawati la Uhariri Msasa Online linazingatia haya.
1. Kuripoti habari za kweli zilizo haririwa kwa umakini.
2. Kurekebisha taarifa zilizopotoshwa ili kuwahabarisha watazamaji wetu.
3. Kuzingatia maadili ya habari kwa kuhakikisha uwiano na kutoa habari zisizo pendelea upande mmoja.
4.Kujiepusha na utoaji habari zenye udini, ukabila na yoyote yanayoweza kusababisha taharuki.
5. Kufanya kazi kwa nidhamu na weredi.
Muongozo kwa watazamaji wetu
1. Kila mtu ana haki ya kutoa maoni.
2. Msasa Online inaweza kufuta maoni ambayo yanaweza kuchochea uvunjifu wa amani au kusababisha taharuki.
3. Msasa Online inaweza kuzuia mtu asiweze kuona au kuweka maoni kwenye taarifa tunazohabarisha endapo atakiuka taratibu za muongozo huu.
4. Lugha chafu na zisizo na maadili haziruhusiwi.
Shared 2 months ago
247 views
Shared 2 months ago
483 views
Shared 6 months ago
646 views
Shared 6 months ago
3.6K views
Shared 7 months ago
6.1K views
Shared 7 months ago
463 views
Shared 7 months ago
1.9K views
Shared 7 months ago
4.7K views
Shared 8 months ago
7.7K views
Shared 8 months ago
2.1K views
Shared 9 months ago
1.4K views
Shared 9 months ago
1.6K views
Shared 9 months ago
131 views
Shared 2 years ago
184 views
Shared 2 years ago
247 views
Shared 3 years ago
316 views
Shared 3 years ago
475 views
Shared 3 years ago
46 views
Shared 3 years ago
36 views
Shared 3 years ago
101 views
Shared 3 years ago
68 views
Shared 3 years ago
78 views
Shared 3 years ago
552 views
Shared 4 years ago
1.1K views
Shared 4 years ago
565 views