Karibu kwenye channel ya Ismail abdoul jina maarufu #mjanjawakiwanja
Tunakuletea elimu ya Kiislamu, mahojiano na Masheikh wa Dzaleka, pamoja na utafiti wa kijamii mtaani. Lengo letu ni kuelimisha, kuhamasisha na kuonesha uhalisia wa maisha ya jamii yetu.

Tuunge mkono katika safari ya elimu, imani na maendeleo ya jamii!

Wasiliana nasi:
+265 894 990 744 / +265 986 246 260
ismailabdoul230@gmail.com
Tupo Dzaleka, Malawi

Subscribe kwa maarifa, imani na sauti ya jamii


Mjanja Wakiwanja

Program ya kusoma Qur'an kwa kina mama umeanza rasmi kwenye masjid Muhajirina Dzaleka

5 months ago | [YT] | 0

Mjanja Wakiwanja

Siku ya Eid al-Fitr, tarehe 30 Aprili 2025, viongozi wa Kiislamu katika Kambi ya Wakimbizi ya Dzaleka walikusanyika kwa sala ya Eid kwenye Uwanja wa Umoja. Ilikuwa siku ya furaha kubwa, iliyojawa na mshikamano, ibada, na kusherehekea pamoja kwa amani

7 months ago | [YT] | 1