Rais wa Marekani Joe Biden ametaka kumalizwa kwa ghasia za kisiasa baada ya shambulio katika mkutano wa hadhara wa mgombea wa Republican Donald Trump huko Pennyslvania mapema Jumamosi, akisema katika matamshi yake kwa njia ya televisheni kwamba rais wa zamani inaonekana anaendelea vizuri.
Pia Rais Biden amevitaka vyombo vya ulinzi Marekani kuhakikisha kunapatikana kwa haraka taarifa zaidi ya tukio hilo.
VOA Swahili
Rais wa Marekani Joe Biden ametaka kumalizwa kwa ghasia za kisiasa baada ya shambulio katika mkutano wa hadhara wa mgombea wa Republican Donald Trump huko Pennyslvania mapema Jumamosi, akisema katika matamshi yake kwa njia ya televisheni kwamba rais wa zamani inaonekana anaendelea vizuri.
Pia Rais Biden amevitaka vyombo vya ulinzi Marekani kuhakikisha kunapatikana kwa haraka taarifa zaidi ya tukio hilo.
#voaswahili #ghasiazakisiasa #biden #trumph
9 months ago (edited) | [YT] | 5