๐ฃ๏ธ Miguel Gamondi asema ukweli kabla ya mchezo wa kesho!
Kocha wa Tanzania Taifa Stars, Miguel Gamondi, amezungumza kwa uwazi kuelekea mchezo wa AFCON 2025 dhidi ya Tunisia ๐น๐ณ
โNilisikia swali la mwandishi kwamba tukifungwa nawakasirikia wachezajiโฆ hapana. Mpira ni mchezo wa makosa, lazima ufanye makosa ndipo uwe bora zaidi. Naipenda kazi yangu na nawapenda wachezaji wangu, lakini wakati mwingine lazima tuwe wakweli. Angalia nafasi ya Tanzania kwenye viwango vya FIFA na CAF bado hatupo mahali pa kujilinganisha na wengine.โ
Gamondi ameongeza:
โSamatta anaweza kuanza au akaanzia benchi. Kwangu, wachezaji wote wako sawa. Hii ni timu ya taifa. Kucheza ligi kubwa Ulaya pekee hakumaanishi lazima uanze.โ
FAR RABAT NA AL AHLY WANASHUKURU KUWA KUNDI RAHISI MAANA NDIO WANAOVUKA.
Ukiangalia kundi lilivyo unaona kabisa FAR Rabat na Al Ahly ndio wanakundi Rahisi hapa ndio wanaovuka.
Maana Al Ahly na JS Kabylie watachukua sita zote za Kabylie huku Al Ahly atachukua na sita za Yanga,,, Kisha Yanga yeye atachukua moja tu ya JS Kabylie.
Senegal waliingia kwa kasi na kutengeneza presha isiyokatika, huku Kenya wakipata changamoto kuhimili mashambulizi mfululizo.
๐ Matokeo haya yanawapa Senegal motisha zaidi kuelekea michuano ijayo, huku Kenya wakibakiwa na masomo muhimu ya kurekebisha kabla ya mechi zinazofuata.
Half time: Mchezo kati ya Seychelles ๐ธ๐จ na Ivory Coast ๐จ๐ฎ kipindi cha kwanza kimemazilika Ivory Coast wakiwa mbele kwa goli 4๏ธโฃโ0๏ธโฃ
magoli yamefungwa na I. Sangarรฉ 7' (P) E. Agbadou 17' O. Diakitรฉ 32' E. Guessand 39'
Lakini fundi wa Mpira Pacome Zouzou bado hajaingia kambani kama anavyofanyaga huku tanzania tuendelee kusubiri kipindi cha pili huenda akafunga ๐ฅ๐๐ป
Kesho J'Nne Oct 07, 2025 kinapigwa pale meja jeneral isamuyo Ni Simba SC Tanzania dhidi ya AL HILAL omdumani Ni match ya kirafiki na itakuwa (closed door) Ni mechi maalumu kwa ajili ya benchi jipya la ufundi kuangalia wachezaji wao na kufanya tathmini za kiufundi.
๐ฃ๏ธ๐ฅ *"Tukiwa wakweli kabisa, uwezo wa mchezaji mmoja mmoja upo chini sana. Wanapaswa kurudi uwanjani kufanya mazoezi zaidi ili kurekebisha hali hii na kuweza kushindana na wengine."* โ *Kocha Hemed Suleiman Morocco*, Kocha wa muda Simba SC ๐ฆ
๐ Kauli ya ukweli inayogusa msingi wa ushindani wa kweli ๐ฏ Soka ni zaidi ya majina, ni maandalizi, nidhamu na ubora binafsi uwanjani.
Azam Tv tafuteni watangazaji Professional wa Mpira waliochangamka, hawa mlionao wanatangaza kama wanasoma taarifa ya habari
Yani tunaangalia Mpira kama tunaangalia Tamthilia ya kituruki au mazishi, watangazaji wamepoa kama uji wa mgonjwa๐ก๐ก๐ก
Basi tu hatuna Option ya kuangalia mpira channel nyingine ndiomaana tunawaangalia ila mara 100 mpira wa kusikiliza youtube au kwenye redio kuliko kuangalia mechi zenu
KEV MSUYA SHOW "SPORTS"
๐ฃ๏ธ Miguel Gamondi asema ukweli kabla ya mchezo wa kesho!
Kocha wa Tanzania Taifa Stars, Miguel Gamondi, amezungumza kwa uwazi kuelekea mchezo wa AFCON 2025 dhidi ya Tunisia ๐น๐ณ
โNilisikia swali la mwandishi kwamba tukifungwa nawakasirikia wachezajiโฆ hapana. Mpira ni mchezo wa makosa, lazima ufanye makosa ndipo uwe bora zaidi. Naipenda kazi yangu na nawapenda wachezaji wangu, lakini wakati mwingine lazima tuwe wakweli. Angalia nafasi ya Tanzania kwenye viwango vya FIFA na CAF bado hatupo mahali pa kujilinganisha na wengine.โ
Gamondi ameongeza:
โSamatta anaweza kuanza au akaanzia benchi. Kwangu, wachezaji wote wako sawa. Hii ni timu ya taifa. Kucheza ligi kubwa Ulaya pekee hakumaanishi lazima uanze.โ
4 weeks ago | [YT] | 6
View 0 replies
KEV MSUYA SHOW "SPORTS"
FAR RABAT NA AL AHLY WANASHUKURU KUWA KUNDI RAHISI MAANA NDIO WANAOVUKA.
Ukiangalia kundi lilivyo unaona kabisa FAR Rabat na Al Ahly ndio wanakundi Rahisi hapa ndio wanaovuka.
Maana Al Ahly na JS Kabylie watachukua sita zote za Kabylie huku Al Ahly atachukua na sita za Yanga,,, Kisha Yanga yeye atachukua moja tu ya JS Kabylie.
1 month ago | [YT] | 1
View 0 replies
KEV MSUYA SHOW "SPORTS"
๐ฅ FULL TIME โ International Friendly
Kenya ๐ฐ๐ช 0 โ 8 Senegal ๐ธ๐ณ
Senegal wameonyesha ubora wao wa hali ya juu katika mchezo wa kirafiki, wakitumia kila nafasi kwa ufanisi na kuudhibiti mchezo mwanzo hadi mwisho.
Magoli:
โฝ๏ธ 10โ โ Jackson
โฝ๏ธ 13โ โ Diouf
โฝ๏ธ 16โ โ Jackson
โฝ๏ธ 18โ โ Manรฉ
โฝ๏ธ 32โ โ Manรฉ (Pen)
โฝ๏ธ 36โ โ Manรฉ
โฝ๏ธ 49โ โ Mbaye
โฝ๏ธ 81โ โ Ndiaye (Pen)
Senegal waliingia kwa kasi na kutengeneza presha isiyokatika, huku Kenya wakipata changamoto kuhimili mashambulizi mfululizo.
๐ Matokeo haya yanawapa Senegal motisha zaidi kuelekea michuano ijayo, huku Kenya wakibakiwa na masomo muhimu ya kurekebisha kabla ya mechi zinazofuata.
2 months ago | [YT] | 0
View 0 replies
KEV MSUYA SHOW "SPORTS"
๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐ : NBC Premier League ๐น๐ฟ
JKT TANZANIA FC 1๏ธโฃโ๏ธ2๏ธโฃ SIMBA SPORTS CLUB
โฝ๏ธ 60" Songo โฝ๏ธ 64" Nangu
โฝ๏ธ 77" Sowah
2 months ago | [YT] | 0
View 0 replies
KEV MSUYA SHOW "SPORTS"
Half time: Mchezo kati ya Seychelles ๐ธ๐จ na Ivory Coast ๐จ๐ฎ kipindi cha kwanza kimemazilika Ivory Coast wakiwa mbele kwa goli 4๏ธโฃโ0๏ธโฃ
magoli yamefungwa na I. Sangarรฉ 7' (P) E. Agbadou 17' O. Diakitรฉ 32' E. Guessand 39'
Lakini fundi wa Mpira Pacome Zouzou bado hajaingia kambani kama anavyofanyaga huku tanzania tuendelee kusubiri kipindi cha pili huenda akafunga ๐ฅ๐๐ป
3 months ago | [YT] | 0
View 0 replies
KEV MSUYA SHOW "SPORTS"
๐ ๐ ๐ก ๐ฆ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐จ ๐ช ๐ ๐๐คฉ๐๐ฆ
3 months ago | [YT] | 0
View 0 replies
KEV MSUYA SHOW "SPORTS"
Kesho J'Nne Oct 07, 2025 kinapigwa pale meja jeneral isamuyo
Ni Simba SC Tanzania dhidi ya AL HILAL omdumani
Ni match ya kirafiki na itakuwa (closed door)
Ni mechi maalumu kwa ajili ya benchi jipya la ufundi kuangalia wachezaji wao na kufanya tathmini za kiufundi.
3 months ago | [YT] | 0
View 0 replies
KEV MSUYA SHOW "SPORTS"
Pale AZAM TV kwa sasa kuna uhaba wa Watangazaji wazuri wa mpira. Kuna watu wanalazimishwa watangaze lakini hawana radha kabisa.
Kwa sasa Azam TV watangazaji wa maana ni:
1. Gharib Mzinga
2. Ayoub Hinjo
3. Salum Iddi Kidedea
4. Gwalugano Mwakalobo
Inatakiwa wazalishe vijana wapya au waende kwenye media zingine wakapore watangazaji wengine mfano Seif Bongi pale ZBC 2 na Nazareth Upete pale TBC.
Hawa akina Pascal Kabombe, Hassan Mvula, Alwatan Ngoda wabaki kwenye majukumu mengine.
Haiwezekani unakuta Game kali, alafu Mtangazaji amepoa kinyama ๐๐๐
3 months ago | [YT] | 4
View 0 replies
KEV MSUYA SHOW "SPORTS"
๐ฃ๏ธ๐ฅ *"Tukiwa wakweli kabisa, uwezo wa mchezaji mmoja mmoja upo chini sana. Wanapaswa kurudi uwanjani kufanya mazoezi zaidi ili kurekebisha hali hii na kuweza kushindana na wengine."*
โ *Kocha Hemed Suleiman Morocco*, Kocha wa muda Simba SC ๐ฆ
๐ Kauli ya ukweli inayogusa msingi wa ushindani wa kweli ๐ฏ
Soka ni zaidi ya majina, ni maandalizi, nidhamu na ubora binafsi uwanjani.
๐ฃ *Je, unakubaliana na Kocha Morocco?*
๐ Acha maoni yako hapa chini!
โค๏ธ *Like | ๐ฌ Comment | ๐ Follow* โช@simbasctanzania255โฌ
3 months ago | [YT] | 0
View 0 replies
KEV MSUYA SHOW "SPORTS"
Azam Tv tafuteni watangazaji Professional wa Mpira waliochangamka, hawa mlionao wanatangaza kama wanasoma taarifa ya habari
Yani tunaangalia Mpira kama tunaangalia Tamthilia ya kituruki au mazishi, watangazaji wamepoa kama uji wa mgonjwa๐ก๐ก๐ก
Basi tu hatuna Option ya kuangalia mpira channel nyingine ndiomaana tunawaangalia ila mara 100 mpira wa kusikiliza youtube au kwenye redio kuliko kuangalia mechi zenu
3 months ago | [YT] | 0
View 0 replies
Load more