Barabara ya muziki imejengwa na wengi lakini #DJCHOKA @ankochoka jina lake lipo zaidi ya miaka 20 katika game, Leo @showtimerfa ya @radiofreeafrica tunampa heshima na maua yake kuanzia 2pm - 4pm
HOSTED: @franckietower na @adamjerome_ ARTWORK: @kanzaboy1
Hao unaowaona kwenye picha MNATO ni @pipidoreen pamoja na MOPAO @barnabaclassic nilikutana nao NJIA PANDA kama unavyoona huo muda ambao picha ilipigwa ilikuwa ni mida MIBOVU pande za Masaki tulikutana π
Huyo mnayemuona nimepiga nae picha ni dada yangu kipenzi since day UNO anaitwa @rayctanzania π₯° miss you so much sister hebu upange siku ya kuja huko nimuone Anko wangu π
NAWAKUMBUSHA TU WATOTO WA 2000's KUTOKEA KENYA π°πͺ
Huyo mnayemuona nimepiga nae picha anaitwa βͺ@theaviewayβ¬ na hapo ilikuwa mwaka 2009 ambapo nilikutana na Avril KUNDUCHI BEACH alipokuja Tanzania kwa ajili ya maswala ya mziki na kufanya wimbo wa AY - LEO REMIX
Hiyo picha hapo pembeni yangu mwenye KOFIA nyeupe ni @chino_kidd7 na mwenye black Tshet ni @richmavoko
Tuliipiga hii picha pale MSAVU MOROGORO ambapo tulisimama na wasanii ili kupata SUPU na kuendelea na safari ya kuelekea DODOMA kwenye KILI MUSIC AWARDS TOUR 2014.
Huyu niliyepiga nae picha hapo anaitwa @elizabethmichaelofficial ni mdogo wangu KABISAAAA since day 1 akitangaza kipindi Cha WATOTO SHOW pale ITV ππ
Sasa picha hii tuliipiga pale Coco Beach kulikuwa na Tamasha lililokuwa likiitwa WAHAPAHAPA π₯ sasa hivi toka ameolewa na kaka yangu @majizzo nikashindwa nimuite nani kati ya Shemeji au Mdogo wangu ππ KIKUBWA UZIMA UWEPO π
DJ CHOKA
Barabara ya muziki imejengwa na wengi lakini #DJCHOKA @ankochoka jina lake lipo zaidi ya miaka 20 katika game, Leo @showtimerfa ya @radiofreeafrica tunampa heshima na maua yake kuanzia 2pm - 4pm
HOSTED: @franckietower na @adamjerome_
ARTWORK: @kanzaboy1
#SupportedByDJChoka
#MdauWaBURUDANI
#AnkoCHOKA
#DJChoka
2 weeks ago | [YT] | 9
View 0 replies
DJ CHOKA
Ndani ya MJINI FM kwenye kipindi Cha THE INDUSTRY
1 month ago | [YT] | 4
View 0 replies
DJ CHOKA
Ndani ya EAST AFRICA RADIO kwenye kipindi Cha Planet Bongo
1 month ago | [YT] | 4
View 0 replies
DJ CHOKA
NAWAKUMBUSHA TU WATOTO WA 2000's
Hao unaowaona kwenye picha MNATO ni @pipidoreen pamoja na MOPAO @barnabaclassic nilikutana nao NJIA PANDA kama unavyoona huo muda ambao picha ilipigwa ilikuwa ni mida MIBOVU pande za Masaki tulikutana π
#DJChoka
#TBTzaDJChoka π₯
#MdauWaBURUDANI πͺ
6 months ago | [YT] | 1
View 0 replies
DJ CHOKA
NAWAKUMBUSHA TU WATOTO WA 2000's
Huyo mnayemuona nimepiga nae picha ni dada yangu kipenzi since day UNO anaitwa @rayctanzania π₯° miss you so much sister hebu upange siku ya kuja huko nimuone Anko wangu π
#DJChoka
#TBTzaDJChoka π₯
#MdauWaBURUDANI πͺ
6 months ago | [YT] | 2
View 1 reply
DJ CHOKA
NAWAKUMBUSHA TU WATOTO WA 2000's KUTOKEA KENYA π°πͺ
Huyo mnayemuona nimepiga nae picha anaitwa βͺ@theaviewayβ¬ na hapo ilikuwa mwaka 2009 ambapo nilikutana na Avril KUNDUCHI BEACH alipokuja Tanzania kwa ajili ya maswala ya mziki na kufanya wimbo wa AY - LEO REMIX
#DJChoka
#TBTzaDJChoka π₯
#MdauWaBURUDANI πͺ
6 months ago | [YT] | 2
View 0 replies
DJ CHOKA
NAWAKUMBUSHA TU WATOTO WA 2000's
Ukiitoa team yangu ya @simbasctanzania timu nyingine ninayoipenda na yenye RANGI nzuri ya JEZI zao ni @officialmbeyacityfc π₯π₯π₯
Kwenye picha hii ya MNATO ya mwaka 2016 nilikuwa na MDOGO wangu kipenzi wanamuita @hamisamobetto
#DJChoka
#TBTzaDJChoka π₯
#MdauWaBURUDANI πͺ
6 months ago | [YT] | 1
View 0 replies
DJ CHOKA
Kwenye hii picha MNATO nipo na DADA zake CHOKA yaani nipo na @queendarleen_ pamoja na @kajalafrida ππ
Hii siku tulikutana pale MBALAMWEZI BEACH kwenye Birthday ya dada yetu Neema Chande Mimi nilikuwa MC wa party hiyo π»
#DJChoka
#TBTzaDJChoka π₯
#MdauWaBURUDANI πͺ
6 months ago | [YT] | 1
View 0 replies
DJ CHOKA
NAWAKUMBUSHA TU WATOTO WA 2000's
Hiyo picha hapo pembeni yangu mwenye KOFIA nyeupe ni @chino_kidd7 na mwenye black Tshet ni @richmavoko
Tuliipiga hii picha pale MSAVU MOROGORO ambapo tulisimama na wasanii ili kupata SUPU na kuendelea na safari ya kuelekea DODOMA kwenye KILI MUSIC AWARDS TOUR 2014.
#DJChoka
#TBTzaDJChoka π₯
#MdauWaBURUDANI πͺ
6 months ago | [YT] | 1
View 0 replies
DJ CHOKA
NAWAKUMBUSHA TU WATOTO WA 2000's
Huyu niliyepiga nae picha hapo anaitwa @elizabethmichaelofficial ni mdogo wangu KABISAAAA since day 1 akitangaza kipindi Cha WATOTO SHOW pale ITV ππ
Sasa picha hii tuliipiga pale Coco Beach kulikuwa na Tamasha lililokuwa likiitwa WAHAPAHAPA π₯ sasa hivi toka ameolewa na kaka yangu @majizzo nikashindwa nimuite nani kati ya Shemeji au Mdogo wangu ππ KIKUBWA UZIMA UWEPO π
#DJChoka
#TBTzaDJChoka π₯
#MdauWaBURUDANI πͺ
6 months ago | [YT] | 2
View 0 replies
Load more