ARTIST DJ | ENTERTAINMENT INDUSTRY.
Call/WhatsApp: +255 658 164282
Email: djchoka@gmail.com


DJ CHOKA

NAWAKUMBUSHA TU WATOTO WA 2000's

Hao unaowaona kwenye picha MNATO ni @pipidoreen pamoja na MOPAO @barnabaclassic nilikutana nao NJIA PANDA kama unavyoona huo muda ambao picha ilipigwa ilikuwa ni mida MIBOVU pande za Masaki tulikutana 😁

#DJChoka
#TBTzaDJChoka πŸ”₯
#MdauWaBURUDANI πŸ’ͺ

2 months ago | [YT] | 1

DJ CHOKA

NAWAKUMBUSHA TU WATOTO WA 2000's

Huyo mnayemuona nimepiga nae picha ni dada yangu kipenzi since day UNO anaitwa @rayctanzania πŸ₯° miss you so much sister hebu upange siku ya kuja huko nimuone Anko wangu πŸ™

#DJChoka
#TBTzaDJChoka πŸ”₯
#MdauWaBURUDANI πŸ’ͺ

2 months ago | [YT] | 2

DJ CHOKA

NAWAKUMBUSHA TU WATOTO WA 2000's KUTOKEA KENYA πŸ‡°πŸ‡ͺ

Huyo mnayemuona nimepiga nae picha anaitwa β€ͺ@theavieway‬ na hapo ilikuwa mwaka 2009 ambapo nilikutana na Avril KUNDUCHI BEACH alipokuja Tanzania kwa ajili ya maswala ya mziki na kufanya wimbo wa AY - LEO REMIX

#DJChoka
#TBTzaDJChoka πŸ”₯
#MdauWaBURUDANI πŸ’ͺ

2 months ago | [YT] | 2

DJ CHOKA

NAWAKUMBUSHA TU WATOTO WA 2000's

Ukiitoa team yangu ya @simbasctanzania timu nyingine ninayoipenda na yenye RANGI nzuri ya JEZI zao ni @officialmbeyacityfc πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

Kwenye picha hii ya MNATO ya mwaka 2016 nilikuwa na MDOGO wangu kipenzi wanamuita @hamisamobetto


#DJChoka
#TBTzaDJChoka πŸ”₯
#MdauWaBURUDANI πŸ’ͺ

2 months ago | [YT] | 1

DJ CHOKA

Kwenye hii picha MNATO nipo na DADA zake CHOKA yaani nipo na @queendarleen_ pamoja na @kajalafrida 😁😁

Hii siku tulikutana pale MBALAMWEZI BEACH kwenye Birthday ya dada yetu Neema Chande Mimi nilikuwa MC wa party hiyo 🍻


#DJChoka
#TBTzaDJChoka πŸ”₯
#MdauWaBURUDANI πŸ’ͺ

2 months ago | [YT] | 1

DJ CHOKA

NAWAKUMBUSHA TU WATOTO WA 2000's

Hiyo picha hapo pembeni yangu mwenye KOFIA nyeupe ni @chino_kidd7 na mwenye black Tshet ni @richmavoko

Tuliipiga hii picha pale MSAVU MOROGORO ambapo tulisimama na wasanii ili kupata SUPU na kuendelea na safari ya kuelekea DODOMA kwenye KILI MUSIC AWARDS TOUR 2014.

#DJChoka
#TBTzaDJChoka πŸ”₯
#MdauWaBURUDANI πŸ’ͺ

2 months ago | [YT] | 1

DJ CHOKA

NAWAKUMBUSHA TU WATOTO WA 2000's

Huyu niliyepiga nae picha hapo anaitwa @elizabethmichaelofficial ni mdogo wangu KABISAAAA since day 1 akitangaza kipindi Cha WATOTO SHOW pale ITV 😁😁

Sasa picha hii tuliipiga pale Coco Beach kulikuwa na Tamasha lililokuwa likiitwa WAHAPAHAPA πŸ”₯ sasa hivi toka ameolewa na kaka yangu @majizzo nikashindwa nimuite nani kati ya Shemeji au Mdogo wangu 😁😁 KIKUBWA UZIMA UWEPO πŸ™

#DJChoka
#TBTzaDJChoka πŸ”₯
#MdauWaBURUDANI πŸ’ͺ

2 months ago | [YT] | 2

DJ CHOKA

NAWAKUMBUSHA TU WATOTO WA 2000's

Picha hizi za MNATO nilipiga na kaka yangu @afandesele1976 na @aytanzania pale ARUSHA 2007 kwenye uzinduzi wa Album ya ALUTA KONTINUA ya kaka mkubwa @professorjaytz πŸ”₯

Na hapo tulikuwa nyumbani kwa dada yangu @nakaayasumari alitualika kwenda kupata Moja mbili tatu kabla ya kuelekea kwenye Sound Check pale Triple A.

#DJChoka
#TBTzaDJChoka πŸ”₯
#MdauWaBURUDANI πŸ’ͺ

2 months ago | [YT] | 1

DJ CHOKA

NAWAKUMBUSHA TU WATOTO WA 2000's

Kwenye kumbukumbu hii ya picha MNATOA nilikuwa na kaka zangu pande za MOROGORO.

Je mmewatambua nani na nani hapo?

#DJChoka
#TBTzaDJChoka πŸ”₯
#MdauWaBURUDANI πŸ’ͺ

2 months ago | [YT] | 2

DJ CHOKA

NAWAKUMBUSHA TU WATOTO WA 2000's

Huyu niliyepiga nae picha hapo ni JAY Z wa MBEYA anaitwa @izzo_bizness_mbeya 😁 hapo mnapotuona tulikuwa SERENA HOTEL tulialikwa kwenye party ya THE MBONI SHOW ilikuwa inazinduliwa msimu mpya.

3 months ago | [YT] | 1