Frank Mtwale

Ajira yangu, Mafanikio yangu lite version

Kama ulishindwa kununua kitabu 'full' Cha Ajira yangu, Mafanikio yangu, basi nimekuletea 'lite version' kwa bei ya 2,500 tu

Ukinunua kitabu hiki utapata zaidi ya nusu ya maarifa yaliyopo kwenye kitabu 'full' kwa 'robo' bei!

Kama wewe ni mwajiriwa au mwanafunzi wa elimu ya juu, usiache fursa hii ikupite. Ongeza maarifa, uongeze kipato chako!

Kwa mahitaji ya kitabu unaweza kutuma ujumbe Whatsapp namba +255742024803

Au tembelea tovuti www.amazon.com/AJIRA-YANGU-MAFANIKIO-Frank-Mtwale-…. Kwa kitabu kamilisha.

#deeppocketvt
#frankmtwale

1 year ago | [YT] | 3

Frank Mtwale

Kitabu kipo tayari, Kwa TSH 10,000 tu za kitanzania. Jipatie nakala yako Sasa. Whatsapp +255 742 024 803

Pata muongozo kamili wa namna ya kuilinda, kuitunza na kuendea ndoto zako za maisha kwa kupitia ajira uliyonayo sasa kama mtaji.

Unaweza kukisoma ukiwa mahali popote na wakati wowote kwa kutumia simu, laptop au tablet kwani kinapatikana katika mfumo wa PDF

#ajira
#mafanikio
#deeppocketvt
#frankmtwale

1 year ago | [YT] | 1