πŸ†• SUBSCRIBE CHANNEL HII YA MABENA TV ILI UWE UNAPATA HABARI ZA MICHEZO KILA SIKU

ℹ️ UTAPATA LIFE REVIEW PAMOJA NA STORI ZA MITAA ZINAZOHUSU MAISHA.

πŸ—£οΈMAHOJIANO YA WATU MBALIMBALI WAKIELEZEA MAPITO NA MAISHA (inspiration Story)

βœ…Maudhui yetu Tumejikita Kwa kuzingatia miongozo ya uandishi wa habari na Taratibu za mawasiliano TCRA


MABENA TV

πŸ›‘ LIVE DEAL DONE SIMBA YATHIBITISHA KUMSAINI RAMADHAN CHOBWEDO WINGA FUNDI KUTOKA TRA UNITED,HUU NDIO UWEZO,HISTORIA NA TAKWIMU ZA CHOBWEDO , AHMED ALLY ATAMBA KUWA HAPA TUMESAJILI MALI YANGA WALIMTAKA NA WAMEMKOSA ,ATHIBITISHA SIMBA YAACHANA NA GOLIKIPA MUSA CAMARA LEO ATOA SABABU HIZI HII HAPA CHINI KUTAZAMA UTHIBITISHO WOTE MUDA HUU
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
https://youtu.be/iTFMs87O_uM?si=c8Z4S...

5 hours ago (edited) | [YT] | 0

MABENA TV

πŸ›‘LIVE TAZAMA MUDA HUU ALI KAMWE APAGAWA NA SARE YA SIMBA KWA TRA UNITED LEO, AMUIMBA CHOBWEDO HUKU AKIIZODOA SIMBA ,ANAJUA KUKERA HUYU MSHUHUDIE MWANZO MWISHO HAPA
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
https://youtu.be/pxA5E7f1aPE?si=NKLVc...

4 days ago | [YT] | 0

MABENA TV

LIVE TAZAMA MUDA HUU MCHEKESHAJI MC ELIUD SAMWEL AKIELEZEA MATUTA YOTE 24 YALIYO NJIA YA GOBA NZIMA MSHUHUDIE MWANZO MWISHO HAPA AKIONGEA MWENYEW UTACHEKA SANA HAKIKA NJIA YA GOBA IKO KICHWANI
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
https://youtu.be/mUezGG7dpbA?si=vaJIQ...

2 weeks ago | [YT] | 0

MABENA TV

TAZAMA VITUKO VYA CHUGA NA BIGIIII ITS LOUI AGAIN USIPOCHEKA DAI MB ZAKO HAPA GUSA HII HAPA CHINI KUTAZAMA
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
https://youtu.be/rpZ_TWNOCSU?si=FvRBf...

4 weeks ago | [YT] | 0

MABENA TV

β–ͺ️RAIS SAMIA AMUASILI MTOTO MCHANGA ALIYETELEKEZWA NZEGA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemuasili mtoto mchanga wa kike leo tarehe 11 Machi, 2026, katika makazi yake, Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma.

Mtoto huyo aliyepewa jina la Grace Samia Suluhu Hassan alitelekezwa mjini Nzega, mkoani Tabora, na amekabidhiwa kwa Rais Dkt. Samia na Mkuu wa Wilaya ya Nzega, Mhe. Naitapwaki Tukai.

Akizungumza wakati wa kumkabidhi mtoto huyo, Mkuu wa Wilaya Tukai alisema mtoto huyo aliokotwa tarehe 17 Januari, 2026 akiwa ametelekezwa katika eneo jirani na nyumba ya wageni ya Kasulu, Nzega Mjini.

Alieleza kuwa baada ya kupokea taarifa hizo, alishirikiana na Jeshi la Polisi kumchukua mtoto huyo na kumpeleka hospitalini kwa uchunguzi na uangalizi, huku juhudi za kumtafuta mama yake zikiendelea bila mafanikio.

Rais Dkt. Samia amemkaribisha mtoto huyo katika familia yake na kuahidi kumpatia malezi, ulinzi na huduma zote muhimu ili akue katika mazingira salama na yenye upendo.

β€œWanaotupa watoto hawajui wanalolifanya. Kuliko kumtupa mtoto ni afadhali ukamkabidhi katika mamlaka za kisheria au kituo cha kulelea watoto. Kila mtoto aliyezaliwa ni hazina, na hatuijui kesho yake,” alisema Rais Dkt. Samia.

Subscribe MABENA TV Ili usipitwe na taarifa za Kila siku

1 month ago | [YT] | 20

MABENA TV

LIVE TAZAMA HAPA HISTORIA NZIMA A-Z YA ELIAS KIHOMBO BINADAMU ALIKUWA NA AKILI ISIYO YA KAWAIDA DARASANI ,NDIYE TANZANIA ONE BORA WA MUDA WOTE NCHINI , SHUHUDIA MAZITO YA MAPITO YAKE CHUO MPAKA KUFUNDISHA UTASHANGAA SANA HII HAPA CHINI KUTAZAMA A-Z HISTORIA YAKE NZIMA
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
https://youtu.be/OfPVK9Nf6To?si=C-SEP...

1 month ago | [YT] | 1