Je, orodha hii inaakisi kiwango sahihi cha furaha nchini mwako?
Ripoti inayoonesha viwango vya furaha kwa nchi mbalimbali duniani yani World Happiness Report 2026 inaendelea kuibua mjadala miongoni mwa wananchi hasa kutoka eneo la Afrika Mashariki.
Ripoti hiyo imepima furaha kwa kutumia vigezo kama vile kipato cha mtu mmoja mmoja (GDP per capita), msaada wa kijamii, umri wa kuishi, uhuru wa kufanya maamuzi binafsi, ukarimu, pamoja na viwango vya rushwa.
Kutokana na vigezo hivyo, kila nchi imepata alama ya furaha na kupangwa katika nafasi yake kimataifa.
Ingawa nchi za Afrika Mashariki bado ziko chini katika orodha hiyo.
Matajiri wa Afrika wanaendelea kujipatia nafasi miongoni mwa matajiri wakubwa duniani, kulingana na orodha ya Forbes Africa 2026.
Aliko Dangote wa Nigeria anaendelea kuongoza, akijiunga sasa na mwenzake Abdulsamad Rabiu, hii ikiongeza nafasi ya Nigeria katika orodha ya matajiri wa bara hili.
Pamoja na Nigeria, nchi kama Afrika Kusini na Misri nazo zinaongoza katika orodha hii, zikionyesha ukuaji wa nguvu ya kiuchumi ya Afrika na kuibuka kwa wafanyabiashara wakubwa wa ndani.
Orodha ya Forbes ya mwaka huu inaonesha matajiri watano wanaoongoza Afrika.
Kupitishwa kwa Azimio la Umoja wa Mataifa lililoongozwa na Ghana, la kuiorodhesha biashara ya utumwa ya Atlantiki kama "uhalifu mbaya zaidi dhidi ya ubinadamu" katika historia ya binadamu na kudai malipo ya fidia, kwa mara nyengine limeonesha ukubwa wa biashara hiyo kwa Waafrika.
Hizi ni baadhi ya nchi za Afrika Magharibi zilivyoshiriki katika biashara ya utumwa.
Tanzania inaomboleza kifo cha William Lukuvi ambaye alikuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu ) na Mbunge wa Jimbo la Isimani.
Kifo cha Lukuvi kinatonesha kidonda cha Bunge la 13 la Tanzania, ambalo tangu kuanza kwake Novemba 2025, limepoteza wabunge watatu, ambao ni pamoja na Jenista Mhagama na Halima Nasoro.
Shirika la Nishati la Kimataifa (IEA) limependekeza hatua mbalimbali ambazo serikali, makampuni na watu binafasi wanazoweza kuchukua ili kupunguza athari za uhaba wa mafuta unaojitokeza kutokana na vita vinavyoendelea Mashariki ya Kati.
Kulingana na takwimu za hivi karibuni zilizotolewa na Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP) na watengenezaji wa magari nchini Japan (JAMA), Nigeria inashika nafasi ya kwanza barani Afrika, kwa uagizaji magari.
Tanzania ni ya nne kwa mujibu wa takwimu hizo, huku Kenya ikishika nafasi ya sita.
Katika eneo la Uskudar, kitovu cha jiji la Istanbul kuna Msikiti wa Sakirin, uliosanifiwa na Zeynep Fadillioglu, ambae anatambulika kama mwanamke wa kwanza kusanifu msikiti.
Usanifu wake umesanya miongo kadhaa ya sanaa ya utamaduni katika usanifu, ni sehemu iliyojaa isharaa na maana.
TRT World ilikaa na msanifu aliyetunukiwa na kujadili kazi yake ya takriban miongo minne.
Wengine huuita kandanda, wapo wanaouita kabumbu na hata mpira wa miguu. Je, uliwahi kufahamu kuwa soka ndio mchezo unaofuatiliwa na watu wengi duniani?
TRT Afrika Swahili
Je, orodha hii inaakisi kiwango sahihi cha furaha nchini mwako?
Ripoti inayoonesha viwango vya furaha kwa nchi mbalimbali duniani yani World Happiness Report 2026 inaendelea kuibua mjadala miongoni mwa wananchi hasa kutoka eneo la Afrika Mashariki.
Ripoti hiyo imepima furaha kwa kutumia vigezo kama vile kipato cha mtu mmoja mmoja (GDP per capita), msaada wa kijamii, umri wa kuishi, uhuru wa kufanya maamuzi binafsi, ukarimu, pamoja na viwango vya rushwa.
Kutokana na vigezo hivyo, kila nchi imepata alama ya furaha na kupangwa katika nafasi yake kimataifa.
Ingawa nchi za Afrika Mashariki bado ziko chini katika orodha hiyo.
3 days ago | [YT] | 7
View 1 reply
TRT Afrika Swahili
Matajiri wa Afrika wanaendelea kujipatia nafasi miongoni mwa matajiri wakubwa duniani, kulingana na orodha ya Forbes Africa 2026.
Aliko Dangote wa Nigeria anaendelea kuongoza, akijiunga sasa na mwenzake Abdulsamad Rabiu, hii ikiongeza nafasi ya Nigeria katika orodha ya matajiri wa bara hili.
Pamoja na Nigeria, nchi kama Afrika Kusini na Misri nazo zinaongoza katika orodha hii, zikionyesha ukuaji wa nguvu ya kiuchumi ya Afrika na kuibuka kwa wafanyabiashara wakubwa wa ndani.
Orodha ya Forbes ya mwaka huu inaonesha matajiri watano wanaoongoza Afrika.
1 week ago | [YT] | 13
View 0 replies
TRT Afrika Swahili
Kutoka Ikulu hadi katika jamii. Baadhi ya mabinti wa viongozi wa Afrika wameonesha ushawishi wao katika kutekeleza majukumu mbalimbali katika jamii.
Hawa ni baadhi ya watoto hao wa marais ambao kwa namna moja au nyengine wamekuwa katika macho ya watu.
1 week ago | [YT] | 13
View 1 reply
TRT Afrika Swahili
Kupitishwa kwa Azimio la Umoja wa Mataifa lililoongozwa na Ghana, la kuiorodhesha biashara ya utumwa ya Atlantiki kama "uhalifu mbaya zaidi dhidi ya ubinadamu" katika historia ya binadamu na kudai malipo ya fidia, kwa mara nyengine limeonesha ukubwa wa biashara hiyo kwa Waafrika.
Hizi ni baadhi ya nchi za Afrika Magharibi zilivyoshiriki katika biashara ya utumwa.
1 week ago | [YT] | 6
View 0 replies
TRT Afrika Swahili
Tanzania inaomboleza kifo cha William Lukuvi ambaye alikuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu ) na Mbunge wa Jimbo la Isimani.
Kifo cha Lukuvi kinatonesha kidonda cha Bunge la 13 la Tanzania, ambalo tangu kuanza kwake Novemba 2025, limepoteza wabunge watatu, ambao ni pamoja na Jenista Mhagama na Halima Nasoro.
1 week ago | [YT] | 11
View 0 replies
TRT Afrika Swahili
Mara nyingi viongozi wa mataifa mbalimbali, huonesha mamlaka, hadhi na taswira ya uongozi wao kupitia aina ya magari wanayotumia.
Haya ni baadhi ya aina ya magari yanayotumiwa na viongozi wa Afrika.
Je, umependa gari la kiongozi yupi katika hao?
1 week ago | [YT] | 37
View 1 reply
TRT Afrika Swahili
Shirika la Nishati la Kimataifa (IEA) limependekeza hatua mbalimbali ambazo serikali, makampuni na watu binafasi wanazoweza kuchukua ili kupunguza athari za uhaba wa mafuta unaojitokeza kutokana na vita vinavyoendelea Mashariki ya Kati.
Je, unadhani hatua hizi zitasaidia?
1 week ago | [YT] | 5
View 1 reply
TRT Afrika Swahili
Kulingana na takwimu za hivi karibuni zilizotolewa na Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa (UNEP) na watengenezaji wa magari nchini Japan (JAMA), Nigeria inashika nafasi ya kwanza barani Afrika, kwa uagizaji magari.
Tanzania ni ya nne kwa mujibu wa takwimu hizo, huku Kenya ikishika nafasi ya sita.
3 weeks ago | [YT] | 32
View 2 replies
TRT Afrika Swahili
Katika eneo la Uskudar, kitovu cha jiji la Istanbul kuna Msikiti wa Sakirin, uliosanifiwa na Zeynep Fadillioglu, ambae anatambulika kama mwanamke wa kwanza kusanifu msikiti.
Usanifu wake umesanya miongo kadhaa ya sanaa ya utamaduni katika usanifu, ni sehemu iliyojaa isharaa na maana.
TRT World ilikaa na msanifu aliyetunukiwa na kujadili kazi yake ya takriban miongo minne.
3 weeks ago | [YT] | 11
View 0 replies
TRT Afrika Swahili
Wengine huuita kandanda, wapo wanaouita kabumbu na hata mpira wa miguu. Je, uliwahi kufahamu kuwa soka ndio mchezo unaofuatiliwa na watu wengi duniani?
Utafiti huu ni kwa mujibu wa worldatlas.
1 month ago | [YT] | 16
View 0 replies
Load more