Simanzi, vilio, huzuni, hasara na mateso vilitawala maeneo mbalimbali nchini Tanzania mwaka 1997-98, wakati mvua kubwa zilizosababishwa na El NiΓ±o ziliposababisha mafuriko, uharibifu wa mali na miundombinu, pamoja na kupoteza maisha ya watu na viumbe wengine.
Ni kumbukumbu ambayo kwa wengi haijasahaulika, kwani karibu kila familia iliguswa kwa namna moja au nyingine na madhara ya mvua hizo.
"CHEKA TU" YAFIKA TAMATI, COY MZUNGU ATHIBITISHA SHOW YA MWISHO ππ’ #Chekatu
Baada ya kufanya kazi kwa miaka 9 ikiwa njia ya vijana wengi kutimiza ndoto zao kwenye tasnia ya Stand up Comedy hatimaye CHEKA TU wametangaza kufika ukingoni mwa safari yao.
Kwa mujibu wa taarifa waliochapisha kupitia ukurasa wa Instagram CHEKA TU imeutaarifu uma kuwa October 2,2026 watafanya show yao ya mwisho baada ya kufanya kazi kwa miaka 9 huku wakiandika kuwa "Kwasababu zilizo nje ya uwezo wetu Cheka Tu Comedy Platform itafika mwisho wa safari yake rasmi siku hiyo".
CHEKA TU ilianzishwa na Mchekeshaji @coy_mzungu ambaye kupitia Platforms hiyo ilifanikiwa kuwatambulisha wachekeshaji kama Said Said, Eliud, Ndaro, Tx Dullah n.k
ARSHAM MEDIA TZ
SOMA KWA UTULIVU KISHA WEKA COMMENTπ
8 hours ago | [YT] | 29
View 3 replies
ARSHAM MEDIA TZ
UNAIKUMBUKA EL NINO YA MWAKA 1998??ππ’
Simanzi, vilio, huzuni, hasara na mateso vilitawala maeneo mbalimbali nchini Tanzania mwaka 1997-98, wakati mvua kubwa zilizosababishwa na El NiΓ±o ziliposababisha mafuriko, uharibifu wa mali na miundombinu, pamoja na kupoteza maisha ya watu na viumbe wengine.
Ni kumbukumbu ambayo kwa wengi haijasahaulika, kwani karibu kila familia iliguswa kwa namna moja au nyingine na madhara ya mvua hizo.
Wewe unakumbuka nini kuhusu El NiΓ±o ya 1997-98?
Tuandikie...π’π’ππππ
8 hours ago | [YT] | 33
View 8 replies
ARSHAM MEDIA TZ
YAHYA ZAYD NA FATUMA CHIKAWE RASMI MUME NA MKE SASA ππβ₯οΈβ₯οΈ
Mtangazaji wa Azam Tv "Fatma Abdalah Chikawe" leo amefunga ndoa na mchezaji wa Azam fc "Yahya Bin Zaid"
Hii imekaaje kitaalam!!!! ππ
β₯οΈβ₯οΈβ₯οΈβ₯οΈππππ
8 hours ago | [YT] | 40
View 10 replies
ARSHAM MEDIA TZ
SALMA MDOLI "MKE WA BABA LEVO" NI MJAMZITO,BABA LEVO ATHIBITISHA ππππ
8 hours ago | [YT] | 78
View 6 replies
ARSHAM MEDIA TZ
MUME HAKUACHII HELA YA CHAKULA KASEMA NIJIONGEZE NA AKIRUDI ANADAI CHAKULA ?π’
8 hours ago | [YT] | 18
View 2 replies
ARSHAM MEDIA TZ
"CHEKA TU" YAFIKA TAMATI, COY MZUNGU ATHIBITISHA SHOW YA MWISHO ππ’ #Chekatu
Baada ya kufanya kazi kwa miaka 9 ikiwa njia ya vijana wengi kutimiza ndoto zao kwenye tasnia ya Stand up Comedy hatimaye CHEKA TU wametangaza kufika ukingoni mwa safari yao.
Kwa mujibu wa taarifa waliochapisha kupitia ukurasa wa Instagram CHEKA TU imeutaarifu uma kuwa October 2,2026 watafanya show yao ya mwisho baada ya kufanya kazi kwa miaka 9 huku wakiandika kuwa "Kwasababu zilizo nje ya uwezo wetu Cheka Tu Comedy Platform itafika mwisho wa safari yake rasmi siku hiyo".
CHEKA TU ilianzishwa na Mchekeshaji @coy_mzungu ambaye kupitia Platforms hiyo ilifanikiwa kuwatambulisha wachekeshaji kama Said Said, Eliud, Ndaro, Tx Dullah n.k
16 hours ago | [YT] | 5
View 0 replies
ARSHAM MEDIA TZ
MMH MBONA KAMA NAMUONA NANDY AU WIVU WANGU JAMANI ?? π€£π€£ππ
17 hours ago | [YT] | 303
View 29 replies
ARSHAM MEDIA TZ
WATU WAMEPANDA MPAKA BIL 10 KAGOMA π€£
1 day ago | [YT] | 90
View 16 replies
ARSHAM MEDIA TZ
KAMA DIAMOND KAMKATAA #DYLAN MOBETTO BASI BABA YAKE NI NANI ??? π’ππ’π
1 day ago (edited) | [YT] | 172
View 14 replies
ARSHAM MEDIA TZ
VIPI BADO IPO AU MLIKUWA MNATANIA?? π€£π€£
1 day ago | [YT] | 90
View 17 replies
Load more