BEST SHORTS IN THE WOLRD

Welcome to PABO MEDIA – your go-to for hilarious reactions to viral videos! 🌟 Join me for laughs, cringes, and the latest internet sensations. Hit follow for updates, share with friends, and repost to spread the fun! Turn on notifications and let's explore the viral side of the internet together.

For Collaboration and Business inquiries, please use the contact information below:

📩 Email: pabomedia@gmail.com

🔔 Subscribe to my channel for more videos:


Pabo Media

Snoop Dogg

3 months ago | [YT] | 1

Pabo Media

FAN’S CRASH TRAVIS SCOTT’S CONCEPT 🤯🤯

3 months ago | [YT] | 2

Pabo Media

9 months ago | [YT] | 5

Pabo Media

Chris Brown goes after young singer on Twitter after she tries to commit suicide

9 months ago | [YT] | 5

Pabo Media

What do you think?

9 months ago | [YT] | 4

Pabo Media

What do you think?

9 months ago | [YT] | 5

Pabo Media

MAELFU YA WANANCHI WAFURIKA LAMADI SIMIYU MAPOKEZI YA DKT NCHIMBI.

Maelfu ya wananchi na wanachama wamefurika Lamadi, Simiyu kwenye mapokezi ya Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwasili tayari kwa ziara ya siku tatu katika Mkoa wa Simiyu.

Balozi Nchimbi amepokelewa na mwenyeji wake Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu Ndugu Shemsa Mohamed, huku akiwa ameongozana na Katibu wa NEC-Itikadi Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa Ndugu Amos Makalla pamoja na Katibu wa NEC -Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Ndugu Rabia Abdalla Hamid.

#KaziIendelee
#TunaendeleanaMama.

1 year ago | [YT] | 6

Pabo Media

WAZIRI MKUU ATETA NA MWENYEKITI WA BODI YA CITIBANK

Yaahidi kuendelea kushirikiana na Tanzania
 
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imekuwa inafanya kazi na benki ya Citibank ya Marekani kwa zaidi ya miaka 35 na imekuwa ikipokea ushauri wa mambo ya kifedha kupitia Benki Kuu ya Tanznaia (BoT).
 
Amesema hayo jana (Jumanne, Septemba 24, 2024) mara baada ya kukutana na Mwenyekiti wa Bodi ya Benki hiyo, Bw. John Dugan, kwenye makao makuu ya benki hiyo, jijini New York, Marekani.
 
“Serikali ya Tanzania inaishukuru sana Benki ya Citibank kwa kuwa imeshiriki katika ujenzi wa uchumi ikiwemo na upatikanaji wa fedha za mikopo, kuishauri Serikali katik amasuala ya fedha na kufadhili miradi mikubwa inayoendelea kujengwa nchini,” alisema.
 
“Benki hii imekuwa ikikopesha makampuni yanayojenga reli yetu ya SGR na ili kuhakikisha wanachangia ujenzi wa uchumi wa Tanzania, na wao pia wamechukua lot moja ya ujenzi wa reli hiyo na kufadhili ujenzi wake. Hali kadhalika uendelezaji wa uwanja wa ndege wa Pemba.”
 
Alisema Tanzania ilipokabiliwa na uhaba wa mafuta ya kuendeshea mitambo na magari, benki hiyo ilitumika kuwasaidia wafanyabiashara kupata mafuta kwa bei nafuu,” alisema.
 
Mbali na ushauri wa masuala ya kiuchumi, Waziri Mkuu amesema benki hiyo kwa kushirikiana na taasisi ya kimataifa ya maendeleo ya Marekani, (U.S. International Development Finance Corporation) pia ilitoa mikopo kwa wafanyabiashara wadogo huku ikiwapatia fursa zaidi akina mama na wadada wanaomiliki biashara zao binafsi.
 
Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Citibank ya Marekani, Bw. John Dugan amesema wataendelea kushirikiana na Serikali katika masuala mbalimbali ya kimaendeleo kama walivyofanya katika mika 40 iliyopita.

1 year ago | [YT] | 7

Pabo Media

"We must be proactive and aggressive in our efforts to contain and eliminate this threat."

The World Health Organization (WHO) has declared the mpox outbreak in parts of Africa a public health emergency of international concern.

The highly contagious disease - formerly known as monkeypox - has killed at least 450 people during an initial outbreak in the Democratic Republic of Congo.

It causes flu-like symptoms, skin lesions and can be fatal, with four in 100 cases leading to death.

The disease has now spread across parts of central and east Africa, and scientists are concerned about how fast a new variant of the disease is spreading and its high fatality rate.

1 year ago (edited) | [YT] | 8

Pabo Media

Thousands of women and men marched across several Indian cities as protests against the rape and murder of a doctor escalated.

1 year ago | [YT] | 8